Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kutokea benchi na kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 63 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Andorra usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini kwenye mchezo wa Kundi D kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao la pili la Ureno lilifungwa na 86 Andre Silva dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Heat star insists Terry Rozier has their 'full support' after his
arrest over alleged Mafia-led gambling ring
-
Rozier, 31, was taken into custody at the team's hotel in Orlando in
relation to an alleged scam to defraud sportsbooks by placing bets on
leaked locker ro...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment