Thiago Alcântara wa Hispania akiruka juu dhidi ya mabeki wa Albania kuifungia La Roja bao la tatu dakika 16 katika ushindi wa 3-0 kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu la Dunia mwakani Urusi. Mabao mengine ya wenyeji yamefungwa na Rodrigo dakika ya 16 na Isco dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Latest: Trump set to arrive in Japan, where he'll meet new Prime
Minister Takaichi
-
President Donald Trump arrives Monday in Japan where new Prime Minister
Sanae Takaichi is banking on building a friendly personal relationship with
the U.S...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment