Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Uruguay dakika za 60 na 76 wakiilaza Bolivia 4-2 katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini jana Uwanja wa Centenario mjini Montevideo. Mabao mengine ya Uruguay inayokata tiketi ya Urusi mwakani yalifungwa na Martin Caceres dakika ya 39 na Edinson Cavani dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brentford vs Liverpool - Premier League: Live score, team news and updates
as the Reds look to bounce back from a poor domestic run
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brentford welcome Liverpool to the Gtech Community Stadium in
the Premie...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment