Mkongwe Arjen Robben akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Uholanzi dakika za 16 kwa penalti na 40 ikishinda 2-0 dhidi ya Sweden jana kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Amsterdam ArenA mjini Amsterdam. Lakini ushindi huo haujaisaidia Uholanzi kufuzu Kombe la Dunia baada ya kuzidiwa wastani wa mabao na Denmark kufuatia kulingana kwa pointi 19 katika nafasi ya pili. Denmark inaungana na Ufaransa walioongoza kundi kwa pointi zao 23 kwenda Urusi mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How to train like a UFC heavyweight champion: Tom Aspinall reveals EVERY
detail of his intense regime - and why he sleeps TWICE a day - as British
star looks to make another statement against Ciryl Gane at UFC 321
-
On Saturday night in Abu Dhabi, Tom Aspinall will walk into the octagon to
face Ciryl Gane - the Frenchman who possesses a record of 13 wins and two
losses...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment