Wachezaji wa Ufaransa wakiongozwa na Nahodha wao, kipa Hugo Lloris kushangilia jana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Mabao ya Ufaransa ambayo inafanikiwa kukata tiketi ya kwenda Urusi mwakani yalifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 27 na Olivier Giroud dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham star who has been out injured since January is called up by
national side as he finally nears return
-
MATT BARLOW: The star has not played since damaging cruciate knee ligaments
playing for Spurs in a Europa League tie against Elfsborg in January but is
inc...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment