Jay Rodriguez akifunga kwa penalti dakika ya 89 kuisawazishia West Bromwich Albion baada ya Calum Chambers kuunawa mpira katika sare ya 1-1 na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns. Arsenal ilitangulia kupata bao dakika ya 83 wakati shuti la mpira wa adhabu la Alexis Sanchez lilipombabatiza James McClean akajifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Brain fog' after NW200 crash was worrying - Coward
-
Road racer Jamie Coward says he believes he "got away lightly" after
crashing at last month's North West 200 but adds that persistent "brain
fog" was a con...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment