Lionel Messi akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 17 na 65 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Espanyol usiku wa jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine yalifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 26 na Luis Suarez dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordon Hudson appears to dodge encounter with Bill Belichick's
daughter-in-law at UNC game after social media dig
-
Schmitt, 11 years older than Hudson, is married to Belichick's son Stephen,
who coaches at UNC alongside his famous father as the defensive coordinator.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment