Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 63 ikiilaza 1-0 Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor leo. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 92 baada ya kucheza mechi 36 na kurejea kileleni kwenye Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment