Jordi Alba akishangilia na mchezaji mwenzake, Arturo Vidal baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 64 akimalizia pasi ya Lionel Messi ikiilaza 2-1 Real Sociedad katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Bao la kwanza lilifungwa na Clément Lenglet dakika ya 45 akimalizia pasi ya Ousmane Dembele kabla ya Juanmi kuisawazishia Real Sociedad dakika ya 62 kwa pasi ya Mikel Merino na kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 33 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tisa zaidi ya Atlético Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris WINS the Hungarian Grand Prix and narrows gap on McLaren title
rival Oscar Piastri - but it's more misery for Lewis Hamilton
-
JONATHAN McEVOY IN BUDAPEST: Hoping for a tonic to take away with him into
the summer break after losing out to Piastri in Belgium, he got it.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment