Mshambuliaji Jamie Vardy wa Leicester City (kulia) akiondoka kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 3-0 huku kipa wa Arsenal, Bernd Leno akigalagala leo Uwanja wa King Power kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Vardy pia alifunga bao la tatu dakika ya 90 na ushei, wakati bao la kwanza lilifungwa na Youri Tielemans na kwa ushindi huo Leicester City inafikisha pointi 51 baada ya kucheza mechi 36 na kupanda kutoka nafasi ya 11 hadi ya nane, wakati Arsenal inabaki nafasi ya tano na pointi zake 66 za mechi za mechi 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New footage reveals the moments before football manager collapsed and died
mid-match, leaving his players in disbelief, as it emerges he 'complained
about fish he had eaten' hours before
-
Mladen Zizovic, 44, collapsed on the side of the pitch 22 minutes into
Radnicki 1923's match against Mladost on Sunday evening, and later passed
away after...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment