Pedro akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Chelsea dakika ya tano na 27 ikiibuka na ushindi wa 4-3 dhidi ya Slavia Prague katika mchezo wa marudiano Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Simon Deli aliyejifunga dakika ya tisa na Olivier Giroud dakika ya 17, wakati ya Slavia Prague yalifungwa na Tomas Soucek dakika ya 25 na Petr Sevcik dakika za 51 na 54 na kwa matokeo hayo The Blues inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-3 kufuatia kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Praha na sasa itamenyana na Eintracht Frankfurt PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US tennis legend Chris Evert slams WNBA players over wild Caitlin Clark
attacks as she calls out 'bad look'
-
Caitlin Clark was jabbed in the eye by Connecticut's Jacy Sheldon, who had
previously been caught in a heated exchange with the Fever star, before
being pu...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment