Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 10 ikiwalaza wenyeji, Watford 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road huku akimaliza ukame wake wa mabao wa mechi saba. Watford ilimaliza pungufu baada ya Troy Deeney kutolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja kwa kosa la kumpita Lucas Torreira dakika ya 11 tu na kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 66 sawa na Chelsea katika mchezo wa 33 na kurejea nafasi ya nne ikiizidi kwa pointi mbili Manchester United inayoshika nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham keeper Guglielmo Vicario pins the blame on their own booing FANS
for stars not keeping 'cool heads' and rowing with manager - after
lip-reader uncovered what was said
-
The Spurs stopper, 29, was greeted with a chorus of boos alongside his
team-mates after Thomas Frank 's side slumped to a 1-0 derby defeat against
Chelsea ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment