Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 36 ikishinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Napoli kwenye mchezo wa marudiano Robo Fainali UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli. Kwa matokeo hayo, Arsenal inatinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza London na sasa itamenyana na Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Edo: Hotel under construction collapses, kills owner
-
From Tony Osauzo, Benin Tragedy has struck in the Idumoza community, Uromi,
Esan North-East Local Government Area of Edo State, where a hotel under
const...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment