Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 36 ikishinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Napoli kwenye mchezo wa marudiano Robo Fainali UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli. Kwa matokeo hayo, Arsenal inatinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza London na sasa itamenyana na Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The remarkable moment top-flight footballers collapse as they are told 
their manager, 44, has died mid-match after heart attack in the dug-out
                      -
                    
Radnicki 1923 manager Mladen Zizovic collapsed on the side of the pitch 
after suffering a heart attack 22 minutes into the Serbian club's match 
with Mlados...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment