Wafungaji wa mabao ya Liverpool katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana, kiungo wa kimataifa wa Guinea, Naby Deco Keita (katikati) na washambuliaji wa kimataifa, Mohamed Salah wa Misri na Sadio Mane wa Senegal wakipongezana kwa kazi nzuri usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Anfield. Keita alifunga la kwanza dakika ya kwanza, Mane mawili dakika za 23 na 66 kama Mo Salah dakika za 45 na ushei na 83 na kwa ushindi huo Liverpool inafikisha pointi 91 baada ya kucheza mecbhi 36 na kurejea kileleni, ikiizidi Manchester City pointi mbili ingawa ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris WINS the Hungarian Grand Prix and narrows gap on McLaren title
rival Oscar Piastri - but it's more misery for Lewis Hamilton
-
JONATHAN McEVOY IN BUDAPEST: Hoping for a tonic to take away with him into
the summer break after losing out to Piastri in Belgium, he got it.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment