Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 15 na 63 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Bao la tatu limefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 90 wakati la Crystal Palace limefungwa na Luka Milivojevic dakika ya 81 na kwa ushindi huo Man City inafikisha pointi 83 baada ya kucheza mechi 33 na kurejea kileleni, ikiizidi pointi moja Liverpool ambayo muda inamenyana na Chelsea Uwanja wa Anfield katika mchezo wake wa 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris WINS the Hungarian Grand Prix and narrows gap on McLaren title
rival Oscar Piastri - but it's more misery for Lewis Hamilton
-
JONATHAN McEVOY IN BUDAPEST: Hoping for a tonic to take away with him into
the summer break after losing out to Piastri in Belgium, he got it.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment