Phil Foden akiifungia bao pekee Manchester City dakika ya tano tu ikiilaza Tottenham Hotspur 1-0 leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 86 baada ya kucheza mechi 34 na kurejea kileleni, sasa ikiizidi pointi mbili Liverpool inayofuatia nafasi ya pili, mbele ya Tottenham yenye pointi 67 za mechi 34 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dad pays a heartwarming tribute to teenager who was killed in freak cricket
accident - but what happened next will make your blood boil
-
A father has called for 'respect' in the community after his tribute to
cricketer Ben Austin came to an outrageous end.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment