Mohamed Salah akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 53 kufuatia Sadio Mane kufunga la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unairejesha Liverpool kileleni ikifikisha pointi 85 baada ya kucheza mechi 34, sasa ikiizidi Manchester City pointi mbili ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Jamie Melham went from 'little fat kid' to winning the Melbourne Cup 
after battling back from white powder and Covid scandals
                      -
                    
Jamie Melham will forever be etched in Australian racing record books 
following her triumph in the Melbourne Cup on board Half Yours - but it 
could have be...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment