Jordan Henderson akimpongeza James Milner baada ya kufunga bao la pili kwa penalti dakika ya 81, kufuatia Georginio 'Gini' Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 57 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cardiff City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Cardiff City mjini Caerdydd. Liverpool inarejea kileleni baada ya ushindi huo ikifikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 35 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu England, ikiizidi kwa pointi mbili Manchester City ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris WINS the Hungarian Grand Prix and narrows gap on McLaren title
rival Oscar Piastri - but it's more misery for Lewis Hamilton
-
JONATHAN McEVOY IN BUDAPEST: Hoping for a tonic to take away with him into
the summer break after losing out to Piastri in Belgium, he got it.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment