Jordan Henderson akimpongeza James Milner baada ya kufunga bao la pili kwa penalti dakika ya 81, kufuatia Georginio 'Gini' Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 57 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cardiff City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Cardiff City mjini Caerdydd. Liverpool inarejea kileleni baada ya ushindi huo ikifikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 35 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu England, ikiizidi kwa pointi mbili Manchester City ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Are fans mocking two-time NBA champion for Victor Wembanyama Lakers trade
from Spurs
-
Los Angeles Lakers broadcaster and two-time NBA champion Mychal Thompson
suggested a bolt from the blue on Friday that the San Antonio Spurs might
trade st...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment