Phil Jagielka akiifungia bao pekee Everton dakika ya 10 kufuatia kuanza badala ya mgonjwa, Michael Keane Everton ikiilaza 1-0 Arsenal leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Kwa ushindi huo, Everton inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 33 na kupanda kwa nafasi mopja hadi ya tisa, Arsenal ikibaki na pointi zake 63 sawa na Chelsea katika nafasi ya nne baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Graham Potter's West Ham exit: How chaos behind the scenes led to
his downfall, the meddling from David Sullivan that ruined his transfer
plans, why players backed him until the end… and the man Hammers have lined
up to replace him
-
It's over, again, for Graham Potter. Seven months at Chelsea, eight months
at West Ham. This was not how his career was meant to play out.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment