Mbrazil Roberto Firmino akishangilia na wachezaji wenzake, Waholanzi Georginio Wijnaldum na Virgil van Dijk baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 85 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo Uwanja wa Selhurst Park, London. Liverpool ilitangulia kwa bao la Sadio Mane dakika ya 49 kabla ya Wilfried Zaha kuisawazishia Crystal Palace dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Go inside surf legend Mick Fanning's uber-luxurious new beachside home
after a stalker forced him to sell his $16million oceanfront mansion
-
Mick Fanning and his partner Breeana Randall have revealed that they are in
the process of building a sensational new mansion on the Gold Coast.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment