Refa akimuondoa bondia Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) baada ya kumuangusha mpinzani wake, Mcuba Luis Ortiz raundi ya saba ukumbi wa MGM Grand, Las Vegas na kufanikiwa kutetea taji lake la WBC uzito wa juu kwa ushindi wa Knockout (KO). Hiyo ilikuwa mara ya pili Wilder anamshinda Ortiz baada ya awali kumpiga kwa KO pia Mei mwaka jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment