Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53 kwa penalti, 60, 64, 67 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Rajko Mitic mjini Belgrade, mabao mengine yakifungwa na Leon Goretzka dakika ya 14 na Corentin Tolisso dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Umahi: Tinubu spends ₦445.8bn on South East superhighway
-
From Isaac Anumihe, Abuja The Minister of Works, David Umahi, has directed
all regional directors of the Federal Ministry of Works to compile a
comprehen...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment