Lionel Messi akiifungia Argentina bao la kusawazisha kwa penalti dakika ya 90 na ushei katika sare ya 2-2 na Uruguay baada ya beki Jose Martin Caceres kuunawa mpira kwenye boksi usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Bloomfield mjini Tel-Aviv. Uruguay ilitangulia kwa bao la Edinson Cavani dakika ya 34 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Argentina dakika ya 63 na Luis Suarez kufunga la pili dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Go inside surf legend Mick Fanning's uber-luxurious new beachside home
after a stalker forced him to sell his $16million oceanfront mansion
-
Mick Fanning and his partner Breeana Randall have revealed that they are in
the process of building a sensational new mansion on the Gold Coast.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment