Gerard Moreno akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Hispania dakika za 33 na 43 ikiilaza 5-0 Romania kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Fabian Ruiz dakika ya nane, Adrian Rus aliyejifunga dakika ya 45 na Mikel Oyarzabal dakika ya 90 na ushei na sasa wanafikisha pointi 26 katika mchezo wa 10 wakiendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi tano zaidi ya Sweden wanaofuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment