Gerard Moreno akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Hispania dakika za 33 na 43 ikiilaza 5-0 Romania kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Fabian Ruiz dakika ya nane, Adrian Rus aliyejifunga dakika ya 45 na Mikel Oyarzabal dakika ya 90 na ushei na sasa wanafikisha pointi 26 katika mchezo wa 10 wakiendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi tano zaidi ya Sweden wanaofuatia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Go inside surf legend Mick Fanning's uber-luxurious new beachside home
after a stalker forced him to sell his $16million oceanfront mansion
-
Mick Fanning and his partner Breeana Randall have revealed that they are in
the process of building a sensational new mansion on the Gold Coast.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment