Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga Ureno mabao matatu dakika za saba kwa penalti, 22 na 65 hiyo ikiwa hat-trick yake ya 55 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Lithuania kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Do Algarve mjini Sao Joao da Venda. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Pizzi dakika ya 52, Goncalo Paciencia dakika ya 56 na Bernardo Silva dakika ya 63 ingawa pamoja na ushindi huo, wanabaki nafasi ya pili kwa pointi zao 14, nyuma ya Ukraine yenye pointi 19 baada ya wote kucheza mechi saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment