Toni Kroos akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za 55 na 83 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Fainali za Euro 2020 Uwanja wa im BORUSSIA-PARK mjini Monchengladbach jana. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Matthias Ginter dakika ya 41 na Leon Goretzka dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Go inside surf legend Mick Fanning's uber-luxurious new beachside home
after a stalker forced him to sell his $16million oceanfront mansion
-
Mick Fanning and his partner Breeana Randall have revealed that they are in
the process of building a sensational new mansion on the Gold Coast.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment