Dejan Lovren akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 65 ikitoa sare ya 1-1 na Napoli iliyotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 21 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa matokeo hayo, Liverpool inaendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi zake 10, ikifuatiwa na Napoli pointi tisa, Salzburg saba na Genk yenye pointi moja inashika mkia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
First Solar (FSLR) Fell by Over 12% This Week. Here is Why.
-
The share price of First Solar, Inc. (NASDAQ:FSLR) fell by 12.59% between
June 10 and June 17, 2025, putting it among the Energy Stocks that Lost the
Most ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment