Lionel Messi (kushoto) akishangilia na wenzake, Antoine Griezmann na Luis Suarez baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 wa Barcelona dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Suarez alifunga la kwanza dakika ya 29, Messi la pili dakika ya 33 na Griezmann la tatu dakika ya 67, wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Jadon Sancho dakika ya 77 na kwa ushindi huo Barcelona inatinga hatua ya 16 Bora kufuatia kufikisha pointi 11, nne zaidi ya Inter Milan wanaofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Simple photos sum up why eight million people are FURIOUS about State of
Origin
-
The NSW Blues came tantalisingly close to pulling off their biggest Origin
comeback ever in Perth on Wednesday night - but the close loss wasn't the
only t...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment