Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kusababisha mabao mawili na kufunga moja katika ushindi wa 3-1 wa Real Madrid dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu jana. Willian Jose alianza kuwafungia wageni dakika ya pili tu kabla ya Karim Benzema kuisawazishia Real dakika ya 37, Federico Valverde kufunga la pili dakika ya 47 wote wakimalizia pasi za Luka Modric aliyefunga bao la tatu dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment