Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao matatu dakika za 19, 47 na 60 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Ireland Kaskazini kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt am Main. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Leon Goretzka dakikaya 43 na 73 na Julian Brandt dakika ya 90 na ushei, wakati la Ireland Kaskazini lilifungwa na Michael Smith dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Go inside surf legend Mick Fanning's uber-luxurious new beachside home
after a stalker forced him to sell his $16million oceanfront mansion
-
Mick Fanning and his partner Breeana Randall have revealed that they are in
the process of building a sensational new mansion on the Gold Coast.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment