Wachezaji wa Astana wakishangilia ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester United usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League Uwanja wa Astana Arena, mabao yao yakifungwa na Dmitri Shomko dakika ya 55 na Di'Shon Bernard aliyejifunga dakika ya 62 baada ya wageni kutangulia kwa bao la Jesse Lingard dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Go inside surf legend Mick Fanning's uber-luxurious new beachside home
after a stalker forced him to sell his $16million oceanfront mansion
-
Mick Fanning and his partner Breeana Randall have revealed that they are in
the process of building a sensational new mansion on the Gold Coast.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment