Mechi kati ya Yanga na Zamalek inaendele kipindi cha pili hivi sasa dakika zinayoyoma, Amr Zaki anaisawaishia bao Zamalek. 1-1. Yanga ilikuwa ya kwanza kupata bao, lililofungwa na Mwanasoka Bora wa Uganda 2011, Hamisi Kiiza. Uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali, Mwinyi Kazimoto anaifungia Simba bao la kwanza dakika ya 43 dhidi ya wenyeji Kiyovu Sport. Tuendelee kuziombea dua timu zetu za Tanzania zishinde leo.
Lionel Messi makes more MLS history as fastest player to 100 goals and
assists
-
Lionel Messi moved his career MLS totals to 59 goals and 41 assists in
Inter Miami's win, becoming the fastest player ever to 100 goal
contributions.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment