Mechi kati ya Yanga na Zamalek inaendele kipindi cha pili hivi sasa dakika zinayoyoma, Amr Zaki anaisawaishia bao Zamalek. 1-1. Yanga ilikuwa ya kwanza kupata bao, lililofungwa na Mwanasoka Bora wa Uganda 2011, Hamisi Kiiza. Uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali, Mwinyi Kazimoto anaifungia Simba bao la kwanza dakika ya 43 dhidi ya wenyeji Kiyovu Sport. Tuendelee kuziombea dua timu zetu za Tanzania zishinde leo.
Norris heads Piastri in Sao Paulo practice
-
Lando Norris pips McLaren team-mate and title rival Oscar Piastri to the
fastest time at the very end of practice at the Sao Paulo Grand Prix.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment