Picha ya juu ni kocha wa Zamalek, Hassan Shehata (kushoto) akifanya mazoezi na wachezaji wake kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya wenyeji Yanga. Chini ni Amr Zaki, mshambuliaji tegemeo wa timu hiyo akikokota mpira katika mazoezi hayo. Kesho shughuli itakuwa pevu.
Teen Hid Her Heart Condition from Friends and Teachers. Then, She Nearly
Died While Rushing to Class (Exclusive)
-
“I remember my legs started to go numb and I could feel my heart beating
rapidly,” Emilee Sparks recalls to PEOPLE
5 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment