Mshambuliaji Arouna Kone akiifungia Everton moja ya mabao yake matatu jana katika ushindi wa 6-2 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Goodison Park, mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Deulofeu, Coates la kujifunga na Lukaku, wakati ya Sunderland yalifungwa na Defoe na Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Major twist in Paul Pogba transfer battle as 'new club enters race' for
former Man Utd midfielder as he returns from 18-month doping ban
-
Paul Pogba has held discussions with Monaco ahead of his return to football
after his 18-month drugs suspension. The French side are now facing
competition...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment