Mshambuliaji Arouna Kone akiifungia Everton moja ya mabao yake matatu jana katika ushindi wa 6-2 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Goodison Park, mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Deulofeu, Coates la kujifunga na Lukaku, wakati ya Sunderland yalifungwa na Defoe na Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jones leads much-changed Ireland against Canada
-
Ireland have made 10 changes for Saturday's final World Cup warm-up match
with Canada in Belfast.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment