Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard (kushoto) akifumua shuti la nguvu kuisawazishia timu yake usiku wa Jumatatu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Tottenham Hotspur Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Gary Cahill, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Kane na Son Heung-min na kwa sare hiyo Leicester City wanakuwa mabingwa wapya wa England kwani pointi zao 77 haziwezi tena kufikiwa na Spurs PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enzo Maresca defends Chelsea rotation policy after Wayne Rooney claimed
stars should 'privately question' Blues boss on frequent changes
-
No Premier League manager rotates as much as Maresca, though he does so
with the blessing of the Blues' hierarchy, who believe it will benefit
their squad ...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment