Alvaro Morata wa Hispania akiwania mpira dhidi ya kipa wa Korea Kusini, Kim Jin-Hyeon (kushoto) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa Uwanja wa Red Bull Arena mjini Salzburgbut. Hispania ilishinda 6-1, Morata akifunga mawili sawa na Nolito, mengine yakifungwa na David Silva, Cesc Fabregas huku la Korea likifungwa na Ju Se-Jong PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Can you catch the same cold twice?
-
If you feel like you’re constantly catching colds, you’re not alone. Here’s
why your body sometimes fails to build lasting immunity – and what you can
do a...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment