Nyota wa Ubelgiji, Eden Hazard akimiliki mpira mbele ya Perparim Hetemaj wa Finland katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Euro 2016 Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussel timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Bao la Finland likifungwa na Kasper Hamalainen dakika ya 53, kabla ya Romelu Lukaku kusawazisha dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United star reveals Liverpool major two-man 'weakness' that Ruben
Amorim deliberately targeted to beat the champions - after Gary Neville
called out defender for 'playing like a 10-year-old'
-
United, who carved out a much-needed 2-0 win over Sunderland before the
international break, made it two wins on the spin for the first time this
season wi...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment