Kiungo kinda wa miaka 20, Bertrand Traore akishangilia na mkongwe Diego Costa baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea katika ushindi wa 3-0 dhidi ya RZ Pellets kwenye mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa jana Uwanja wa Worthersee. Mabao mengine ya Chelsea inayoshinda kwa mara ya kwanza chini ya kocha mpya, Antonio Conte yalifungwa na Ruben Loftus-Cheek na Nathaniel Chalobah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
You can’t invoke Ojukwu to mask your own shadows, Obi tackles Onoh
-
Mr. Valentine Obienyem, media adviser to Mr. Peter Obi, former governor of
Anambra State and 2023 presidential candidate of the Labour Party (LP) has
res...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment