Kiungo kinda wa miaka 20, Bertrand Traore akishangilia na mkongwe Diego Costa baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea katika ushindi wa 3-0 dhidi ya RZ Pellets kwenye mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na msimu mpya usiku wa jana Uwanja wa Worthersee. Mabao mengine ya Chelsea inayoshinda kwa mara ya kwanza chini ya kocha mpya, Antonio Conte yalifungwa na Ruben Loftus-Cheek na Nathaniel Chalobah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cardi B and Stefon Diggs fuel reunion talk with VERY touchy appearance
together at charity event
-
They had broken up around February's Super Bowl - the rapper was supporting
her man in the buildup to the game before abruptly wiping all reference to
him ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment