Alvaro Morata akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kuongoza dakika ya 60 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Celta Vigo leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real lilifungwa na Toni Kroos dakika ya 81, baada ya Fabian Orellana kuisawazishia Celta Vigo dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees star Aaron Judge greets wife Samantha with a kiss after she
finishes New York City Marathon
-
Yankees star Aaron Judge was all smiles on Sunday as he congratulated his
wife Samantha on finishing the New York City Marathon.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment