Wachezaji wa Yanga SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Sayansi ya Jamii (sasa chuo cha Mwalimu Nyerere), Kigamboni, Dar es Salaam mwaka 2000 kujiandaa na moja ya mechi zao. Kutoka kushoto Said Mwamba ‘Kizota’ (sasa marehemu), Edibily Lunyamila, Freddy Mbuna, Jaffar Abbas na Mohammed Abdulkadir ‘Tash’ kwa nyuma. Hiyo ilikuwa kambi maarufu ya Yanga wakati wa uongozi wa Tarimba Abbas ‘Thabo Mbekhi’ mwaka 1998 hadi 2001
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment