Wachezaji wa Yanga SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Sayansi ya Jamii (sasa chuo cha Mwalimu Nyerere), Kigamboni, Dar es Salaam mwaka 2000 kujiandaa na moja ya mechi zao. Kutoka kushoto Said Mwamba ‘Kizota’ (sasa marehemu), Edibily Lunyamila, Freddy Mbuna, Jaffar Abbas na Mohammed Abdulkadir ‘Tash’ kwa nyuma. Hiyo ilikuwa kambi maarufu ya Yanga wakati wa uongozi wa Tarimba Abbas ‘Thabo Mbekhi’ mwaka 1998 hadi 2001
Wolves consult senior players as they target surprise return of Gary O'Neil
just 11 months after he was sacked in huge gamble by the club
-
EXCLUSIVE: O'Neil, who was sacked only 11 months ago, is believed to have
held positive discussions with Wolves officials about replacing Vitor
Pereira.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment