Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili katika ushindi wa 3-2 Uwanja wa Stamford Bridge dhidi ya Bristol Rovers kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Victor Moses, wakati ya Bristol yalifungwa na Paul Hartley na Ellis Harrison PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stakeholders laud Tinubu over UBEC’s boss appointment, praise reforms in
primary education
-
Education and Tech Coalition of Activists and Social Entrepreneurs have
applauded President Bola Tinubu for the appointment of the Executive
Secretary of...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment