Kipa wa Steaua Bucharest, Valentin Cojocaru akiushuhudia mpira wa kichwa wa Fabian Delph ukifanya safari ya kuelekea nyavuni kuifungia Manchester City bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Etihad. Man City imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-0 baada ya kushinda 5-0 katika mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea suffer early injury blow as star is forced off after just FIVE
minutes of Champions League clash with Qarabag
-
The Belgian midfielder, making just his fourth start of the season, pulled
up in visible discomfort before being replaced by Moises Caicedo.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment