Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akipambana na mshambuliaji wa Mali, Adama Traore wa TP Mazembe katika mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika leo Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Mazembe imeshinda 3-1.
Adama Traore akimiliki mpira pembeni ya beki wa Yanga, Hassan Kessy
Adama Traore akimfunga tela Hassan Kessy
Adama Traore akipambana na kiungo Mzimbabwe wa Yang, Thabani Kamusoko
Beki wa Yanga, Mbuyu Twite akipambana na mchezaji wa TP Mazembe
0 comments:
Post a Comment