Mfungaji wa bao pekee la West ham United katika ushindi wa 1-0 dhidi ya AFC Bournemouth, Michail Antonio (kulia) akiwania mpira dhidi ya Adam Smith (kushoto) ana Andrew Surman (katikati) katika mchezo wa kwanza wa timu yake kwenye Uwanja wao mpya, Uwanja wa Olimpiki, London. Antonio alifunga dakika ya 85 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stakeholders laud Tinubu over UBEC’s boss appointment, praise reforms in
primary education
-
Education and Tech Coalition of Activists and Social Entrepreneurs have
applauded President Bola Tinubu for the appointment of the Executive
Secretary of...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment