Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili ikishinda 3-1 dhidi ya West Ham United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao lingine la City limefungwa na Fernandinho, wakati la West Ham limefungwa na Michail Antonio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stakeholders laud Tinubu over UBEC’s boss appointment, praise reforms in
primary education
-
Education and Tech Coalition of Activists and Social Entrepreneurs have
applauded President Bola Tinubu for the appointment of the Executive
Secretary of...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment