Kikosi cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, maarufu kama Serengeti Boys kikiwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar kabla ya moja ya mechi zao za michuano ya Afrika Mashariki na Kati iliyofanyika visiwani humo mapema mwaka 2004. Wa kwanza kushoto aliyesimama ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Subira Mambo (sasa marehemu).
The final year of The Hundred as we know it?
-
The fifth edition of The Hundred will begin with big-name additions - but
private investment means there could be major changes in 2026.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment