Winga wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale akiruka kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Sociedad katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa de Anoeta mjini Donostia-San. Bao lingine la Real lilifungwa na Marco Asensio PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stakeholders laud Tinubu over UBEC’s boss appointment, praise reforms in
primary education
-
Education and Tech Coalition of Activists and Social Entrepreneurs have
applauded President Bola Tinubu for the appointment of the Executive
Secretary of...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment