TANZANIA NA IVORY COAST KATIKA PICHA 'KARUME BEACH' JANA
Mchezaji wa Tanzania, Rolland Revocatus Kessy (kushoto) akijaribu kumzuia mchgezaji wa Ivory Coast, Aka Kablan Frederic katika mchezo wa kwanza hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya Faiali za Soka la Ufukweni Afrika baadaye mwaka mjini Lagos, Nigeria uliofanyika jana Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Ivory Coast ilishinda 7-3
Ahmada Abdi wa Tanzania (kushoto) akikimbilia mpira dhidi ya Djeddjed Guy Hans (kulia) na Djere Fabien Sola (katikati) wa Ivory Coast
Samuel Sarungi Opanga wa Tanzania (kushoto) akimtoka Kouassitch Daniel wa Ivory Coast (kulia)
Wachezaji wa Ivory Coast na Tanzania wakigombea kwenye jana Karume
Kikosi cha Tanzania jana Uwanja wa Karume
Kikosi cha Ivory Coast jana Uwanja wa Karume
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (katikati) akiwa na viongozi wengine wa ngazi mbalimbali za soka nchini
Kocha wa Tanzania, John Jacob Mwansasu (kushoto) akizungumza na wachezaji wake wakati wa mapumziko jana
0 comments:
Post a Comment