Mshambuliaji Janie Vardy akikimbia na mpira kushangilia baada ya kuwafungia mabingwa watetezi, Leicester City katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Wes Morgan huku Riyad Mahrez akikosa penalti baada ya Shinji Okazaki kuchezewa faulo na beki Jordi Amat na bao la Swansea lilifungwa na Leroy Fer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith scores 20 as Central Connecticut takes down VSU-Johnson 117-55
-
NEW BRITAIN, Conn. (AP) — Darin Smith Jr.'s 20 points helped Central
Connecticut defeat Vermont State-Johnson 117-55 on Monday.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment