Nyota wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu yake dakika ya 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Ecuador kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika Kusini usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Olimpico Atahualpa mjini Quito. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus dakika za 87 na 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher BLOCKED by Man City and UEFA from entering away end with
Borussia Dortmund fans after marching to ground with supporters - as reason
for ex-Liverpool star being turned away is revealed
-
MIKE KEEGAN: Jamie Carragher wanted to join Borussia Dortmund fans in the
away end at their Champions League clash with Manchester City - but was
stopped f...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment